About us

Our MIssion

We exist to provide world class services in the area of our core competency that leave our client happy and thoroughly satisfied.

Our Vision

To become the leading real estate company in Tanzania providing world class property and real estate services that meet our client’s needs at all the times

Our Team

SHUGHULI ZINAZOFANYWA NA KAMPUNI

UPIMAJI

Kampuni yetu inafanya kazi ya upimaji wa aridhi kwa kushirikiana na halmashauri za jiji, manispaa na wilaya kwa kufata mpango mji

USIMAMIZI WA UJENZI

Kampuni inasimamia ujenzi wa majengo kwa watu wenye uhitaji wa kusimamiwa ujenzi wa nyumba zao, kwa utaratibu wa kufanya hesabu za gharama za nyumba anayotaka kujenga mteja.

Kampuni ina utaratibu wa kuingia mkataba na mteja baada ya kukamilisha tathimini ya garama. Ya nyumba kwamba mteja atatakiwa kufanya malipo ya asilimia sitini (60%) ya garama ya nyumba yake na asilimia arobaini (40%) atamalizia baada ya nyumba yake kukamilika.

Blog

Chat With Us
Welcome JUMACO, ASK ANY THING AND WE ARE HERE TO HELP YOU
SupportWhatsApp